Wale wanaotaka kubatizwa wanatarajiwa kujua mambo muhimu ya imani.
Mungu mmoja tu wa kweli
Tunatarajia mtahiniwa wa ubatizo na wale wanaotaka kuwa sehemu ya Jumuiya ya Christadelphian kuamini katika Mungu mmoja tu, ambaye ni Roho wa milele ambaye ni Msababishi au Muumba wa ulimwengu.
Genesis 1:1,27; Psalm 33: 6; Isa 45:18; Job 34:14, 15; rev 4.11; ecc 12.1
“1Katika mwanzo Mungu aliumba mbingu na dunia.+” (Mwanzo 1:1)
“27 Na Mungu akaumba mutu kwa mufano wake, kwa mufano wa Mungu alimuumba; mwanaume na mwanamuke aliwaumba.+” (Mwanzo 1:27)
“Kwa neno la Bwana mbingu ziliumbwa,
jeshi lao la angani kwa pumzi ya kinywa chake.” (Psaumes 33:6 – Ukuu Na Wema Wa Mungu)
(Isaya 45:18 – Esaïe 45:18)
“14lpamoja na wafalme na washauri wa dunia,
waliojijengea mahali ambapo sasa ni magofu,
15mpamoja na watawala waliokuwa na dhahabu,
waliozijaza nyumba zao kwa fedha.” (Job 34:14-15)“11k“Bwana wetu na Mungu wetu,
wewe unastahili kupokea utukufu
na heshima na uweza,
kwa maana ndiwe uliyeviumba vitu vyote,
na kwa mapenzi yako viliumbwa
na vimekuwako.”” (Apocalypse 4:11)“1aMkumbuke Muumba wako
siku za ujana wako,
kabla hazijaja siku za taabu,
wala haijakaribia miaka utakaposema,
“Mimi sifurahii hiyo”:” (Ecclésiaste 12:1)
Ni moja tu ambayo ni ya ibada
Ni Kwamba Mungu Pekee Ni lazima tuabudu kwa dhamiri njema katika roho na ukweli.
“ 24sMungu ni Roho na wote wanaomwabudu imewapasa kumwabudu katika roho na kweli.” ’” (Yohana 4:24)
“ 6fkwetu sisi yuko Mungu mmoja, aliye Baba, ambaye vitu vyote vyatoka kwake na kwa ajili yake sisi twaishi na kuna Bwana mmoja tu, Isa Al-Masihi, ambaye kwa yeye vitu vyote vimekuwepo na kwa yeye tunaishi. ” (1 Wakorintho 8:6)
“4cSikia, ee Israeli: Jehovah, Bwana Mwenyezi Mungu wako, Jehovah Bwana ni mmoja” (Kumbukumbu la Torati 6:4)
“(83:19) 18sHebu wajue kwamba wewe Jehovah, ambaye jina lako ni Bwana,
kwamba wewe peke yako ndiwe Uliye Juu Sana ya dunia yote.” (Zaburi 83:18)
Wa milele tu
Ni Yehova Mungu pekee asiye na mwanzo (asiyezaa) na asiye na mwisho (hana kifo). Yehova Mungu ni kutoka umilele hadi umilele.
“2 bKabla ya kuzaliwa milima
au hujaumba dunia na ulimwengu,
wewe ni Mungu tangu milele hata milele.” (Zaburi 90:2 – Psalmen 90:2)“
10 iLakini Bwana Jehovah ni Mungu wa kweli,
yeye ndiye Mungu aliye hai, Mfalme wa milele.
Anapokasirika, dunia hutetemeka,
mataifa hayawezi kustahimili hasira yake.’” (Yeremia 10:10 – Jeremia 10:10)“28 acJe wewe, hufahamu?
Je wewe, hujasikia?
Jehovah Bwana ni Mungu wa milele,
Muumba wa miisho ya dunia.
Hatachoka wala kulegea,
wala hakuna hata mmoja
awezaye kuupima ufahamu wake..” (Isaya 40:28 – Jesaja 40:28)“ 17 qBasi Mfalme wa milele, asiye na mwisho, asiyeonekana, aliye Mungu pekee, apewe heshima na utukufu milele na milele. Amen.” (1 Timotheo 1:17 – 1 Timotheüs 1:17)